Isaya 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+ Maombolezo 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wanaume wazee wa binti Sayuni wanaketi chini, ambapo wamenyamaza.+Wametia mavumbi juu ya vichwa vyao.+ Wamejifunga nguo za magunia.+Mabikira wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao chini kabisa.+
26 Na milango yake italazimika kuomboleza na kuhuzunika,+ naye hakika ataachwa ukiwa. Atakaa chini kwenye udongo.”+
10 Wanaume wazee wa binti Sayuni wanaketi chini, ambapo wamenyamaza.+Wametia mavumbi juu ya vichwa vyao.+ Wamejifunga nguo za magunia.+Mabikira wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao chini kabisa.+