Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Yeremia 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na, kwanza kabisa, nitalipa kiwango kamili cha kosa+ lao na cha dhambi yao, kwa sababu waliitia nchi yangu unajisi.+ Walikuwa wameujaza urithi wangu mizoga ya machukizo yao na vinyaa vyao.’”+
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
18 Na, kwanza kabisa, nitalipa kiwango kamili cha kosa+ lao na cha dhambi yao, kwa sababu waliitia nchi yangu unajisi.+ Walikuwa wameujaza urithi wangu mizoga ya machukizo yao na vinyaa vyao.’”+