11 Macho yangu yamechoka kabisa kwa sababu ya kumwaga machozi.+
Matumbo yangu yanasukasuka.
Ini langu limemwagika ardhini, kwa sababu ya kuanguka kwa binti ya watu wangu,+
Kwa sababu ya watoto wadogo na watoto wanaonyonya wanaozimia kwenye viwanja vya mji.+