Isaya 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+ Yeremia 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Huzuni isiyoweza kutibiwa imeniingia.+ Moyo wangu ni mgonjwa. Maombolezo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ubaya wao wote na uje mbele zako, nawe uwatendee vikali,+Kama vile ulivyonitendea vikali kwa sababu ya makosa yangu yote.+Kwa maana ninaugua sana,+ na moyo wangu ni mgonjwa.+
5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+
22 Ubaya wao wote na uje mbele zako, nawe uwatendee vikali,+Kama vile ulivyonitendea vikali kwa sababu ya makosa yangu yote.+Kwa maana ninaugua sana,+ na moyo wangu ni mgonjwa.+