Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Utakapokuwa katika dhiki kali na maneno yote haya yawe yamekupata mwishoni mwa siku hizo, basi utarudi kwa Yehova Mungu+ wako na kuisikiliza sauti yake.+

  • Zaburi 80:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Mungu, uturudishe;+

      Na uutie uso wako nuru, ili tupate kuokolewa.+

  • Zaburi 85:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Utukusanye tena, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Na uache kutukasirikia.+

  • Yeremia 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Hakika nimemsikia Efraimu akijiombolezea,+ ‘Umenirekebisha,+ ili nipate kurekebishwa, kama ndama ambaye hajazoezwa.+ Unigeuze mimi, nami nitageuka bila kusita,+ kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.+

  • Yeremia 32:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 ‘Tazama, ninawakusanya pamoja kutoka katika nchi zote ambako nitakuwa nimewatawanya katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu na katika hasira kuu;+ nami nitawarudisha mahali hapa na kuwakalisha katika usalama.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki