Ayubu 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amenivua utukufu wangu,+Naye anaondoa taji la kichwa changu. Zaburi 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Adui na aifuatilie nafsi yangu+Naye afikie na kukanyagia chini uhai wanguNa kufanya utukufu wangu ukae mavumbini. Sela. Zaburi 89:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Umelikataa kwa dharau agano la mtumishi wako;Umelitia unajisi taji lake mpaka chini.+
5 Adui na aifuatilie nafsi yangu+Naye afikie na kukanyagia chini uhai wanguNa kufanya utukufu wangu ukae mavumbini. Sela.