2 Wafalme 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika siku ya tisa+ ya mwezi wa nne njaa+ ilikuwa kali ndani ya jiji, na hapakuwa na mkate+ kwa ajili ya watu wa nchi. Ayubu 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ngozi yangu ikawa nyeusi+ na kuanguka kutoka kwangu,Na mifupa yangu ikawaka moto kutokana na ukavu. Maombolezo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sura yao imekuwa nyeusi kuliko weusi wenyewe. Hawakutambuliwa barabarani.+Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao.+ Imekauka kama mti.
3 Katika siku ya tisa+ ya mwezi wa nne njaa+ ilikuwa kali ndani ya jiji, na hapakuwa na mkate+ kwa ajili ya watu wa nchi.
30 Ngozi yangu ikawa nyeusi+ na kuanguka kutoka kwangu,Na mifupa yangu ikawaka moto kutokana na ukavu.
8 Sura yao imekuwa nyeusi kuliko weusi wenyewe. Hawakutambuliwa barabarani.+Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao.+ Imekauka kama mti.