Ayubu 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nyama yangu imefunikwa na funza+ na madonge ya mavumbi;+Ngozi yangu imefanyiza vikoko na kuyeyuka.+ Zaburi 119:83 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 83 Kwa maana nimekuwa kama kiriba+ katika moshi.Masharti yako sijayasahau.+ Maombolezo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sura yao imekuwa nyeusi kuliko weusi wenyewe. Hawakutambuliwa barabarani.+Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao.+ Imekauka kama mti.
5 Nyama yangu imefunikwa na funza+ na madonge ya mavumbi;+Ngozi yangu imefanyiza vikoko na kuyeyuka.+
8 Sura yao imekuwa nyeusi kuliko weusi wenyewe. Hawakutambuliwa barabarani.+Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao.+ Imekauka kama mti.