Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”

  • Ezra 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Ezra mwenyewe alikuwa ameutayarisha+ moyo wake kutafuta shauri katika sheria ya Yehova+ na kuifanya+ na kufundisha+ sharti+ na haki+ katika Israeli.

  • Zaburi 119:61
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  61 Kamba za waovu zilinizingira.+

      Sikuisahau sheria yako.+

  • Zaburi 119:176
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 176 Nimetanga-tanga kama kondoo aliyepotea.+ Umtafute mtumishi wako,+

      Kwa maana sijazisahau amri zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki