1 Samweli 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimwangamize, kwani ni nani amepata kunyoosha mkono wake juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova,+ naye akabaki bila hatia?”+ 2 Mambo ya Nyakati 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Daudi babu yake alikuwa amefanya.+
9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimwangamize, kwani ni nani amepata kunyoosha mkono wake juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova,+ naye akabaki bila hatia?”+
2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Daudi babu yake alikuwa amefanya.+