Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 95:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+

      Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+

  • Isaya 53:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sisi sote tumeenda huku na huku kama kondoo;+ sisi tumegeuka kwenda kila mmoja kwenye njia yake; na Yehova amefanya kosa letu sote likutane na huyo.+

  • Ezekieli 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kondoo zangu waliendelea kupotea kwenye milima yote na juu ya kila kilima kirefu;+ na juu ya uso wote wa dunia kondoo zangu+ walitawanyika, pasipo mtu wa kutafuta wala mtu anayejitahidi kupata.

  • Mathayo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 bali, badala ya hivyo, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+

  • Luka 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ni nani kati yenu mwenye kondoo 100, anapopoteza mmoja wao, hatawaacha wale 99 nyikani na kwenda kumtafuta aliyepotea mpaka ampate?+

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki