6 Sisi sote tumeenda huku na huku kama kondoo;+ sisi tumegeuka kwenda kila mmoja kwenye njia yake; na Yehova amefanya kosa letu sote likutane na huyo.+
6 Kondoo zangu waliendelea kupotea kwenye milima yote na juu ya kila kilima kirefu;+ na juu ya uso wote wa dunia kondoo zangu+ walitawanyika, pasipo mtu wa kutafuta wala mtu anayejitahidi kupata.