Yeremia 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo uwatoe wana wao waone njaa,+ na kuwatoa wapatwe na nguvu za upanga;+ wake zao na wawe wanawake waliofiwa na watoto, na wajane.+ Wanaume wao na wauawe kwa tauni yenye kufisha, vijana wao na wapigwe na kuuawa kwa upanga vitani.+
21 Kwa hiyo uwatoe wana wao waone njaa,+ na kuwatoa wapatwe na nguvu za upanga;+ wake zao na wawe wanawake waliofiwa na watoto, na wajane.+ Wanaume wao na wauawe kwa tauni yenye kufisha, vijana wao na wapigwe na kuuawa kwa upanga vitani.+