Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.

  • Yoshua 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye atakimbilia+ moja la majiji hayo na kusimama hapo kwenye mwingilio wa lango+ la jiji na kusema maneno yake masikioni mwa wanaume wazee+ wa jiji hilo; nao watampokea kwao ndani ya jiji na kumpa mahali, akae pamoja nao.

  • Ruthu 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi watu wote waliokuwa katika lango hilo na wale wanaume wazee wakasema: “Sisi ni mashahidi! Yehova na amwezeshe mke anayekuja nyumbani mwako kuwa kama Raheli+ na kama Lea,+ wale wawili walioijenga nyumba ya Israeli;+ nawe uhakikishe thamani yako katika Efratha+ na kufanya jina lenye sifa katika Bethlehemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki