Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.

  • Kumbukumbu la Torati 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 baba ya msichana huyo na mama yake wataleta uthibitisho wa ubikira wa msichana huyo kwa wanaume wazee wa jiji hilo kwenye lango lake;+

  • Ruthu 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Boazi akaenda langoni+ na kuketi hapo. Na, tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alikuwa amemtaja+ alikuwa akipita. Basi akasema: “Njoo, keti hapa, Fulani wa Fulani.” Basi akaja na kuketi.

  • Ayubu 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nilipoenda kwenye lango lililo karibu na mji,+

      Nilikuwa nikitayarisha kiti changu katika kiwanja cha watu wote!+

  • Methali 31:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mume wake+ ni mtu anayejulikana malangoni,+ anapoketi pamoja na wanaume wazee wa nchi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki