18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.
4Naye Boazi akaenda langoni+ na kuketi hapo. Na, tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alikuwa amemtaja+ alikuwa akipita. Basi akasema: “Njoo, keti hapa, Fulani wa Fulani.” Basi akaja na kuketi.