Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na ninyi katika matendo yenu mmetenda vibaya zaidi kuliko baba zenu,+ na, tazama, kila mmoja wenu anaufuata ukaidi+ wa moyo wake mbaya kwa kutonitii mimi.+

  • Yeremia 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Katika siku hizo hawatasema tena, ‘Akina baba ndio waliokula zabibu mbichi, lakini meno ya wana ndiyo yaliyotiwa ukakasi.’+

  • Ezekieli 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Inamaanisha nini kwenu kwamba mnataja neno hili la kimethali kwenye udongo wa Israeli, na kusema, ‘Akina baba ndio wanaokula zabibu mbichi, lakini meno ya wana ndiyo yanayotiwa ukakasi’?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki