Yeremia 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitawafanya kuwa kitu cha kutetemesha falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, kwa sababu ya yale aliyofanya Yerusalemu.+ Yeremia 31:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Katika siku hizo hawatasema tena, ‘Akina baba ndio waliokula zabibu mbichi, lakini meno ya wana ndiyo yaliyotiwa ukakasi.’+ Maombolezo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mababu zetu ndio wamefanya dhambi.+ Hawako tena. Lakini sisi, imekuwa lazima tuchukue makosa yao.+
4 Nami nitawafanya kuwa kitu cha kutetemesha falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, kwa sababu ya yale aliyofanya Yerusalemu.+
29 “Katika siku hizo hawatasema tena, ‘Akina baba ndio waliokula zabibu mbichi, lakini meno ya wana ndiyo yaliyotiwa ukakasi.’+