Ezekieli 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Inamaanisha nini kwenu kwamba mnataja neno hili la kimethali kwenye udongo wa Israeli, na kusema, ‘Akina baba ndio wanaokula zabibu mbichi, lakini meno ya wana ndiyo yanayotiwa ukakasi’?+
2 “Inamaanisha nini kwenu kwamba mnataja neno hili la kimethali kwenye udongo wa Israeli, na kusema, ‘Akina baba ndio wanaokula zabibu mbichi, lakini meno ya wana ndiyo yanayotiwa ukakasi’?+