2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.
27 “‘Naye mwanamume au mwanamke atakayekuwa na roho ya kuwasiliana na pepo au roho ya kubashiri,+ lazima wauawe.+ Watawapiga hao kwa mawe na kuwaua. Damu yao wenyewe iko juu yao.’”+
5 utamtoa nje ya malango yako mwanamume huyo au mwanamke huyo ambaye amefanya jambo hilo baya, naam, mwanamume huyo au mwanamke huyo, nawe utampiga kwa mawe mtu huyo, naye lazima afe.+