Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na tunatambua kwamba sheria haiwekwi kwa ajili ya mtu mwadilifu, bali kwa ajili ya watu wanaovunja sheria+ na waasi, watu wasiomwogopa Mungu na watenda dhambi, wasio washikamanifu* na wasioheshimu mambo matakatifu, wale wanaoua akina baba, akina mama, au watu wengine,

  • 1 Timotheo 1:9
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 9 katika ujuzi wa jambo hili, kwamba sheria hutangazwa hadharani, si kwa ajili ya mtu mwadilifu, bali kwa ajili ya watu wenye kuasi sheria na wasiotawalika, wasiomwogopa Mungu na watenda-dhambi, wenye kukosa fadhili-upendo, na wachafuaji, wauaji-kimakusudi wa akina baba na wauaji-kimakusudi wa akina mama, waua-binadamu kikatili,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki