Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

  • 1 Wafalme 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ili Yehova atimize neno lake alilosema kunihusu mimi,+ akisema, ‘Wana+ wako wakitunza njia yao kwa kutembea+ mbele zangu katika kweli+ kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote, hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.’+

  • Zaburi 89:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nimeapa mara moja katika utakatifu wangu,+

      Sitamwambia Daudi uwongo.+

  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi,+

      Kwa kweli hataliacha:+

      “Kati ya uzao wa tumbo lako+

      Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+

  • Isaya 55:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+

  • Yohana 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+

  • Tito 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki