28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
24 Hata hivyo, siifanyi nafsi yangu kuwa kitu chenye thamani sana kwangu,+ kama tu ningepata kumaliza mwendo+ wangu na huduma+ niliyopokea+ kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+