Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+ Kumbukumbu la Torati 31:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akampa utume Yoshua mwana wa Nuni+ na kusema: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza wana wa Israeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ na mimi mwenyewe nitaendelea kuwa pamoja nawe.”
28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+
23 Naye akampa utume Yoshua mwana wa Nuni+ na kusema: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza wana wa Israeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ na mimi mwenyewe nitaendelea kuwa pamoja nawe.”