Zaburi 58:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,+Viziwi kama swila anayeziba sikio lake,+ Zaburi 140:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wameunoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+Sumu ya kipiri-pembe iko chini ya midomo yao.+ Sela.