Kutoka 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na itakuwa kwamba ikiwa mwana wako atakuuliza baadaye,+ na kusema, ‘Hili linamaanisha nini?’ basi utamwambia, ‘Kwa nguvu za mkono, Yehova alitutoa Misri,+ katika nyumba ya watumwa.+ Zaburi 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,Mababu zetu wenyewe wametusimulia+Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+Siku za zamani za kale.+
14 “Na itakuwa kwamba ikiwa mwana wako atakuuliza baadaye,+ na kusema, ‘Hili linamaanisha nini?’ basi utamwambia, ‘Kwa nguvu za mkono, Yehova alitutoa Misri,+ katika nyumba ya watumwa.+
44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,Mababu zetu wenyewe wametusimulia+Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+Siku za zamani za kale.+