Methali 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo utakapoelewa uadilifu na hukumu na unyoofu, njia yote ya yaliyo mema.+ Waroma 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+