Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kwa maana hii inamaanisha+ ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ kwa msamaha wa dhambi.+

  • Waebrania 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+

  • 1 Petro 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki