10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+ sifa yake kutoka mwisho wa dunia,+ ninyi mnaoshuka kwenda baharini+ na kwa vyote vilivyomo ndani yake, ninyi visiwa na ninyi mnaokaa ndani yake.+
3 Nao wanaimba+ kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee;+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa+ kutoka duniani.