1 Mambo ya Nyakati 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+ Waefeso 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,
8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+
19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,