Ufunuo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mbele ya kile kiti cha ufalme kuna kitu mfano wa bahari kama kioo,+ kama fuwele. Na katikati ya kile kiti cha ufalme na kuzunguka kile kiti kuna viumbe hai+ wanne ambao wamejaa macho mbele na nyuma.
6 Na mbele ya kile kiti cha ufalme kuna kitu mfano wa bahari kama kioo,+ kama fuwele. Na katikati ya kile kiti cha ufalme na kuzunguka kile kiti kuna viumbe hai+ wanne ambao wamejaa macho mbele na nyuma.