Ufunuo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kuzunguka kile kiti cha ufalme pande zote kulikuwa na viti vya ufalme 24, na juu ya viti hivyo vya ufalme+ niliona wameketi wazee+ 24+ waliovikwa mavazi meupe ya nje,+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na mataji ya dhahabu.+ Ufunuo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na wale wazee 24+ na wale viumbe hai wanne+ wakaanguka chini na kumwabudu Mungu anayeketi+ juu ya kiti cha ufalme, na kusema: “Amina! Msifuni Yah!”+
4 Na kuzunguka kile kiti cha ufalme pande zote kulikuwa na viti vya ufalme 24, na juu ya viti hivyo vya ufalme+ niliona wameketi wazee+ 24+ waliovikwa mavazi meupe ya nje,+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na mataji ya dhahabu.+
4 Na wale wazee 24+ na wale viumbe hai wanne+ wakaanguka chini na kumwabudu Mungu anayeketi+ juu ya kiti cha ufalme, na kusema: “Amina! Msifuni Yah!”+