Ufunuo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kuzunguka kile kiti cha ufalme pande zote kulikuwa na viti vya ufalme 24, na juu ya viti hivyo vya ufalme+ niliona wameketi wazee+ 24+ waliovikwa mavazi meupe ya nje,+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na mataji ya dhahabu.+
4 Na kuzunguka kile kiti cha ufalme pande zote kulikuwa na viti vya ufalme 24, na juu ya viti hivyo vya ufalme+ niliona wameketi wazee+ 24+ waliovikwa mavazi meupe ya nje,+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na mataji ya dhahabu.+