26 Kwa maana wale walio katika Makedonia na Akaya+ wamependezwa kushiriki vitu vyao kwa kuwatolea mchango+ fulani walio maskini kati ya watakatifu katika Yerusalemu.
4 nao kwa kupenda kwao wenyewe waliendelea kutuomba kwa kusihi sana wapate pendeleo la kutoa kwa fadhili na kushiriki katika huduma iliyokusudiwa watakatifu.+
12 kwa sababu huduma ya utumishi huu wa watu wote si kugawa tu kwa wingi mahitaji ya watakatifu+ bali pia kuwa matajiri kwa maonyesho mengi ya shukrani kwa Mungu.