Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ 1 Wakorintho 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+ Wafilipi 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana Mungu ndiye ambaye, kwa ajili ya mapenzi yake mema, anatenda ndani yenu+ ili ninyi muwe na nia na kutenda pia.+ Ufunuo 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+
13 kwa maana Mungu ndiye ambaye, kwa ajili ya mapenzi yake mema, anatenda ndani yenu+ ili ninyi muwe na nia na kutenda pia.+
12 “ ‘Tazama! Mimi ninakuja upesi,+ na thawabu+ ninayotoa ipo pamoja nami, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+