1 Wakorintho 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+ 2 Wakorintho 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa kuwa mnatafuta uthibitisho wa Kristo akisema ndani yangu,+ Kristo ambaye si dhaifu kuwaelekea ninyi bali ni mwenye nguvu kati yenu.
4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+
3 kwa kuwa mnatafuta uthibitisho wa Kristo akisema ndani yangu,+ Kristo ambaye si dhaifu kuwaelekea ninyi bali ni mwenye nguvu kati yenu.