Waroma 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana sitathubutu kusema jambo moja ikiwa hilo si kati ya mambo yale ambayo Kristo alifanya kupitia mimi+ ili mataifa yawe yenye utiifu,+ kwa njia ya neno+ na tendo langu, 1 Wakorintho 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwamba katika jina la Bwana wetu Yesu, wakati mnapokuwa mmekusanyika pamoja, pia roho yangu pamoja na nguvu za Bwana wetu Yesu,+
18 Kwa maana sitathubutu kusema jambo moja ikiwa hilo si kati ya mambo yale ambayo Kristo alifanya kupitia mimi+ ili mataifa yawe yenye utiifu,+ kwa njia ya neno+ na tendo langu,
4 kwamba katika jina la Bwana wetu Yesu, wakati mnapokuwa mmekusanyika pamoja, pia roho yangu pamoja na nguvu za Bwana wetu Yesu,+