Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+

  • Methali 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwenye dhihaka hampendi mtu anayemkaripia.+ Yeye hataenda kwa watu wenye hekima.+

  • Yohana 9:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na dhambi. Lakini sasa mnasema, ‘Tunaona.’+ Dhambi+ yenu inabaki.”

  • Waroma 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ijapokuwa walisisitiza kuwa ni wenye hekima, wakawa wapumbavu+

  • Waroma 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki