Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+ Methali 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwenye dhihaka hampendi mtu anayemkaripia.+ Yeye hataenda kwa watu wenye hekima.+ Yohana 9:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na dhambi. Lakini sasa mnasema, ‘Tunaona.’+ Dhambi+ yenu inabaki.” Waroma 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ijapokuwa walisisitiza kuwa ni wenye hekima, wakawa wapumbavu+ Waroma 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+
41 Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na dhambi. Lakini sasa mnasema, ‘Tunaona.’+ Dhambi+ yenu inabaki.”
16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+