Methali 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake. 2 Wakorintho 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+
12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake.
4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+