Mathayo 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wapumbavu na vipofu! Kwa kweli, ni kipi kilicho kikubwa zaidi, dhahabu au hekalu ambalo limeitakasa dhahabu?+ 2 Petro 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+
17 Wapumbavu na vipofu! Kwa kweli, ni kipi kilicho kikubwa zaidi, dhahabu au hekalu ambalo limeitakasa dhahabu?+
19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+