Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.

  • 2 Wakorintho 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana jambo tunalojisifia ni hili, ambalo dhamiri yetu inalitolea ushahidi,+ kwamba kwa utakatifu na unyoofu wa moyo wa kimungu, si kwa hekima ya kimwili+ bali kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu, tumejiendesha katika ulimwengu, lakini hasa kuwaelekea ninyi.

  • 2 Timotheo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana

  • Waebrania 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Endeleeni kusali+ kwa ajili yetu, kwa maana sisi tuna uhakika kwamba tuna dhamiri nyoofu, kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+

  • 1 Petro 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki