12 Kwa maana jambo tunalojisifia ni hili, ambalo dhamiri yetu inalitolea ushahidi,+ kwamba kwa utakatifu na unyoofu wa moyo wa kimungu, si kwa hekima ya kimwili+ bali kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu, tumejiendesha katika ulimwengu, lakini hasa kuwaelekea ninyi.