3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana
16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+