29 kama vile wana wa Esau wanaokaa Seiri+ na Wamoabu+ wanaokaa Ari walivyonifanyia, mpaka nitakapokuwa nimevuka Yordani na kuingia nchi ambayo Yehova Mungu wetu anatupa sisi.’+
15Tangazo juu ya Moabu:+ Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Kiri+ la Moabu limenyamazishwa.