Hesabu 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na mdomo wa mabonde ya mito, ambao umejipinda kuelekea kiti cha Ari+ na kuegemea juu ya mpaka wa Moabu.” Kumbukumbu la Torati 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Usimsumbue Moabu wala kupigana vita naye, kwa sababu sitakupa wewe sehemu yoyote ya nchi yake iwe miliki yako, kwa maana wana wa Loti+ nimewapa Ari+ iwe miliki yao.
15 na mdomo wa mabonde ya mito, ambao umejipinda kuelekea kiti cha Ari+ na kuegemea juu ya mpaka wa Moabu.”
9 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Usimsumbue Moabu wala kupigana vita naye, kwa sababu sitakupa wewe sehemu yoyote ya nchi yake iwe miliki yako, kwa maana wana wa Loti+ nimewapa Ari+ iwe miliki yao.