45 ‘Katika kivuli cha Heshboni wale wanaokimbia wamesimama tuli bila nguvu. Kwa maana hakika moto utatoka katika Heshboni,+ na mwali wa moto kutoka katikati ya Sihoni;+ nao utateketeza vipaji vya nyuso za Moabu na utosi wa kichwa cha wana wa ghasia.’+