2 Samweli 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa juu ya jeshi; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani. 1 Mambo ya Nyakati 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hivyo Daudi akasema: “Yeyote atakayewapiga+ Wayebusi kwanza, atakuwa kichwa na mkuu.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda kwanza, naye akawa kichwa.
6 Hivyo Daudi akasema: “Yeyote atakayewapiga+ Wayebusi kwanza, atakuwa kichwa na mkuu.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda kwanza, naye akawa kichwa.