1 Mambo ya Nyakati 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Daudi alichukua shaba nyingi sana kutoka Tibhathi na Kuni, majiji ya Hadadezeri. Sulemani aliitumia kutengenezea Bahari ya Shaba,+ nguzo, na vyombo vya shaba.+
8 Daudi alichukua shaba nyingi sana kutoka Tibhathi na Kuni, majiji ya Hadadezeri. Sulemani aliitumia kutengenezea Bahari ya Shaba,+ nguzo, na vyombo vya shaba.+