2 “Waamuru wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe waangalifu na kunitolea toleo langu, mkate wangu,+ kwa ajili ya matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto yakiwa harufu ya kunituliza,+ kwenye nyakati zake zilizowekwa.’+
23 Naye akaanza kuitolea dhabihu miungu+ ya Damasko+ iliyokuwa ikimpiga, naye akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia wao,+ mimi nitaitolea dhabihu, ili inisaidie.”+ Nayo ikawa kisababishi cha kumfanya yeye na Israeli wote wajikwae.+