6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+
24 Mtatoa matoleo kama hayo kila siku kwa zile siku saba kuwa mkate,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto,+ lenye harufu ya kumtuliza Yehova. Litatolewa pamoja na toleo la kuteketezwa la daima, na toleo lake la kinywaji.