6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+
2 “Waamuru wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe waangalifu na kunitolea toleo langu, mkate wangu,+ kwa ajili ya matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto yakiwa harufu ya kunituliza,+ kwenye nyakati zake zilizowekwa.’+