Hesabu 28:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtatoa vitu hivyo kama chakula* kwa njia ileile kila siku kwa siku saba, ni dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova. Inapaswa kutolewa na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la kinywaji.
24 Mtatoa vitu hivyo kama chakula* kwa njia ileile kila siku kwa siku saba, ni dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova. Inapaswa kutolewa na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la kinywaji.